Breaking News
recent

Diamond azidiwa, akimbizwa hospitali...!

M

M2 mzima Diamond alizidiwa ghafla na kukimbizwa hospital kuchekiwa hasa tatizo lilikua nini? Na hii message hapo chini aliiandika yeye kum2mia Dj Choka baada ya kupata nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani..,(but now mzazi anaendelea vizuri kidogo)
"Dah nilikuwa nakohoa sana ikasababisha hadi homa, leo nikaamka nimezidiwa sana mwanangu ndo wakanilaza na ikabidi nifanyiwe vipimo vikubwa. ndio wakanicheki moyo labda unatatizo, wakanicheki TB na damu pamoja na maradhi mengine wakaona niko poa. Wamesema nilifanya show kwa mda mrefu so nikawa na experience hali ya hewa ya sehemu tofauti tofauti mara kwa mara sometimes vijijini so hali ya hewa vumbi pia imezingua"
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.