Kwa mujibu wa mtandao wa Variety, nyumba hiyo ambayo ipo katika eneo la Beverly Hills ilikuwa inamilikiwa na muimbaji wa Pop wa Uingereza, Robbie Williams ambayo aliinunua mwaka 2002 kwa kiasi cha dola milioni 5.45.
Nyumba hiyo ina vyumba 7 vya kulala, mabafu 11, bwawa la kuogelea, sehemu ya mazoezi na vitu vingine.
“I told my son ASAHD not only will you have the house in Mia on water I’m buy u 4 mansions aka estates in diff cites ASAHD everyTING for you,” ameandika Dj Khaled kwenye mtandao wake wa Twitter. Tazama hapa chini picha zaidi za nyumba hiyo.







No comments:
Post a Comment