Breaking News
recent

Ommy Dimpoz avuta kitu cha Rav 4 New Model...!

baada ya mtu mzima Diamond kuvuta gari aina ya Land Cruiser Prado yenye thamani ya shilingi milioni za kitanzania 60, rafiki yake wa karibu, ambae mara zote ukimkosa Diamond, basi ujue atakua na Ommy karibu, namzungumzia Ommy Dimpoz, nae amefata nyao kwa kujivutia gari aina ya Rav4 new model yenye thamani ya shilingi millioni 27.
Dimpoz amesema, hajanunua kwa ajili ya show off, bali litamsaidia kwa ajili ya kazi zake, na kwa kuwa linanafasi hata madancer wa poz kwa poz entertainment wataenea
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.