Breaking News
recent

Orodha mpya ya Forbes ya wasanii wa hiphop matajiri zaidi imetoka, Icheki hii hapa...

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii matajiri zaidi duniani wanaofanya muziki wa Hip-Hop yani Forbes Hip-Hop Cash Kings.
Puff Daddy anaongoza namba moja kupitia biashara kama kinywaji cha Ciroc,
Jay Z anashika namba mbili kwa pesa nyingi zikiwa zinatoka kwenye lebo yake ya Roc Nation, tovuti ya muziki ya TIDAL, Armand de Brignac champagne, na D’Ussé cognac.
Dr. Dre anashika namba tatu kutokana na mkwanja wa Beats by Dre na Apple, pamoja na filamu ya N.W.A >Straight Outta Compton.
Hii ndio orodha kamili

Hip-Hop Cash Kings 2016
1. Diddy – $62 million
2. Jay Z – $53.5 million
3. Dr. Dre – $41 million
4. Drake – $38.5 million
5. Wiz Khalifa – $24 million
6. Nicki Minaj – $20.5 million
7. Pitbull – $20 million
8. Pharrell Williams – $19.5 million
9. Kendrick Lamar – $18.5 million
10. Birdman – $18 million
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.