Breaking News
recent

Diamond Platnumz na Wasanii wa WCB wamtembelea Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

Kutoka mitandaoni leo, Stori ya msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz na Wasanii wa WCB wamtembelea nyumbani kwake Rais Mstaafu wa awamu ya nne  Jakaya Kikwete.
Diamond aliambatana na wasanii Rich Mavoko, Harmonize, Rayvanny, Q Boy Msafi na meneja wao Salam na Babu Tale.





Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.