Nicki Minaj ametoa ushahidi juu ya maisha
ya Meek Mill na kwanini jaji hatakiwi kumpa adhabu kubwa ya kurudi jela
kwa kosa la kuvunja masharti ya mahakama.
Nicki Minaj amesema ” mimi ndio ntakaye kuwa na lala mwenyewe akienda
jela,najua Meek Mill is Not Perfect ila huta amini jinsi alivyobadilika
sasa”
Nicki Minaj ameomba mahakama impe nafasi ya kumsaidia Meek Mill
kufata masharti ya mahakama. Wakili wa Meek Mill amesema biashara ya
muziki ina mpa msongo wa mawazo msanii huyu.
Bongo Forest
MMG
Nicki Minaj
Nicki Minaj aiomba mahakama isimpeleke Meek Mill jela tena,ajitolea kumnyosha.
Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment