Rapper Fid Q kutoka Mwanza city ambae kwa mara ya mwisho umemsikia
kwenye ngoma ya Stamina inayoitwa ”Wazo La Leo”, Latest info kutoka
kwake ni kwamba jana alikuwa studio akirekodi ngoma yake mpya akiwa na
Mwanadada Lady J Dee.
Hizi ndizo tweets zao ambazo ziliweza kutupa habari hizo kwamba Lady J Dee na Fid Q wako studio na Producer Dunga wakianda ngoma yao mpya.
Hizi ndizo tweets zao ambazo ziliweza kutupa habari hizo kwamba Lady J Dee na Fid Q wako studio na Producer Dunga wakianda ngoma yao mpya.



No comments:
Post a Comment