Huyu ndiye mchumba wa mshindi wa medali ya dhahabu wa riadha ya walemavu huko nchini Afrika Kusini,Oscar Pistorius,
Leo asubuhi kupitia katika mitandao mbalimbali ya habari iliripoti kwamba mwanaridha huyo Pistorious alidhani jambazi ameingia katika nyumba yake na kujikuta amefanya mauaji kwa mpenzi wake Reeva Steenkamp ambaye ni mwanamitindo wa nchini Afrika Kusini.
Leo asubuhi kupitia katika mitandao mbalimbali ya habari iliripoti kwamba mwanaridha huyo Pistorious alidhani jambazi ameingia katika nyumba yake na kujikuta amefanya mauaji kwa mpenzi wake Reeva Steenkamp ambaye ni mwanamitindo wa nchini Afrika Kusini.
Reeva Steenkamp enzi za uhai wake na Oscar Pistorius
Mtuhumiwa: Oscar Pistorius akiwa ameinama na kufunika kichwa, akitoka
kituo cha polisi cha Boschcop, Pritoria, akielekea hospitali kwa ajili
ya vipimo vya damu kabla ya kupelekwa mahakamani.




No comments:
Post a Comment