Breaking News
recent

Picha ya Diamond aliyoonesha boxer kwenye Fiesta Dar yawachefua watanzania

Baada ya Aunt Ezekiel na Wema Sepetu kutuonesha maungo yao jukwaani sasa ni zamu ya Diamond Platnumz nae kutoa yake kali kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu, kwa mtaji huu ipo siku msanii fulani atakuja kujinyea jukwaani na watu tukakaa kimya.....!
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.