Breaking News
recent

Huyu ndiye mtoto aliyezaliwa na miguu ya mbuzi huko nchini Nigeria


Ni siku 13 tu zimepita toka millardayo.com iandike stori kutoka Nigeria kuhusu mama anaedai kujifungua mtoto wa farasi.
Leo stori nyingine iliyoandikwa na mtandao wa Naijagists inamuhusu mwanamke anaedai kujifungua mtoto aliezaliwa kama binaadamu lakini ana miguu na tumbo kama la mbuzi.
 
Hili tukio limetokea sehemu inaitwa Jahun, Jigawa State, Nigeria ambako huyu mtoto amezaliwa akiwa hana shingo pia.
Mama wa huyu mtoto anasema hii ni mara ya nne yeye kujifungua watoto wenye maumbo ya ajabu.
Mpaka mara ya mwisho nimechek na Naijagists mtoto huyu alikua amelazwa kitandani hospitalini, millardayo.com inaendelea kufatilia, kikitokea chochote utafahamu kupitia hapa.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.