Breaking News
recent

Sharo Millionea anunua gari la millioni 15...!

                               Gari aina ya Opa ya Sharo inavyoonekana kwa mbele
Nani kasema kazi yakuchekesha/mziki hauilipi? inalipa na ina soko kubwa sana. mkali wa comedy na kuimba tanzania sharo milionea amenunua gari lenye thamani ya shilingi milioni 15 za kitanzania aina ya Opa.Chata ya kitambulisho chake ya kuchekesha cha oooooh maaamaa!


Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.